Didachus Nyaundi Poems
- 1. Vumilia Kwa Hasira Na Hasara
Ujumbe nilioutuma umekwama angani
Kunani?wingu limefunika kazkazini
Kipepeo nilichokipepesa kinjiani
Kuwa na ari nakwambia atakuwezesha Rabuka
... - 2. Bahati Haivutwi Kwa Kamba
Namwomba maulana kwa uvumba na ubani
Ndiye wa kweli Rabuka wa vitendo nawambeni
Atakupa kibali muheshimuni jamani
Usitegemee bahati tafuta we vitu vyako
... - 3. Nakupenda Mama
Giza likiingia mawinguni,ulinifunika
Nilipoanza Julia,nyimbo zilikutoka
Mema ulinipatia,sasa nanufaika
Nikupe zawadi gani mama?
... - 4. Kihoro Kitatumaliza
Domo domo za nini, huku watia mkono kizani
kisha yakutokea puani, nakuwa na damu ya kunguni
mamako kafanya nini, sasa kalala kaburini
lmepasuka dunia Rabuka tufanyeje?
...